Excerpts from the poems of the opening ceremony (translated by Clarissa Vierke and Andrew Eisenberg)

From "Tushikepi Tuatepi" by Ustadh Ahmad Nassir Juma Bhalo

Adabu za mila zetu, ni fakhari kuu kwetu
Na utamaduni wetu, sifaze ni kuu piya


The virtue or our customs
is a great glory for us,
the merits of our culture
are great as well.

Kutaba mambo ya watu, ambayo si mema kwetu
Ni kuvunda hadi zetu, tuigizapo mabaya


To imitate the manners of others,
which are not suitable to our society
is to destroy our norms,
especially when we imitate the bad.


From "Kulio Huliya Mwenye" by Ustadh Mahmood Ahmad Abdulkadir Mau

Masomo tutapieni, ilimu kuilimbika
Tupige mbizi za ndani, na lulu tupate zuka
Ilimu si ya fulani, wala haina mipaka


In education let us make an effort and let the knowledge grow,
let us dive to the bottom to retrieve the pearl.
Knowledge is not restricted to someone, and neither does it have limits.

Sindano natutieni, kinga ipate inuka
Kwa yetu tutoshekeni, ndipo tutasalimika
Majinzi na tuvueni, turudi tulikotoka


And let us vaccinate each other, so that a resistance can build up,
so that we may be satisfied at our own place, where we are sound.
And let us push away benighting things; let us return to whence we came.